RATIBA
YA MKUTANO WA BUNGE LA BAJETI, KWA MWAKA WA FEDHA 2015/2016 UNAONZA TAREHE 12
MEI, 2015 HADI 27 JUNI, 2015 NA. TAREHE NA SIKU SHUGHULI HUSIKA NA WIZARA 1.
JUMAMOSI na JUMAPILI 09/05/2015 -10/05/2015 Wabunge kuelekea Dodoma kutoka Dar
es Salaam na sehemu mbalimbali. 2. JUMATATU 11/05/2015 Saa 4.00 Asubuhi Saa
10.00 Jioni · Kikao cha Pamoja cha Kamati ya Uongozi na Kamati ya Bajeti
(Ukumbi wa Pius Msekwa) · Kikao cha Briefing kwa Wabunge wote (Ukumbi wa Pius
Msekwa) 3. JUMANNE - JUMAMOSI 12/5/2015 - 16/5/2015 Mkutano wa Bunge kuanza kwa
shughuli zifuatazo. (i) Maswali ; HOTUBA YA BAJETI YA OFISI YA WAZIRI MKUU:
(Siku 5) · SERA, URATIBU NA BUNGE. · UWEKEZAJI NA UWEZESHAJI. · TAWALA ZA MIKOA
NA SERIKALI ZA MITAA 4. JUMATATU 18/5/2015 Maswali HOTUBA YA BAJETI YA OFISI YA
RAIS: MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA UTAWALA BORA MAHUSIANO NA URATIBU 5.
JUMANNE 19/5/2015 Maswali HOTUBA YA BAJETI YA OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO
NA MAZINGIRA). 6. JUMATANO 20/5/2015 Maswali HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA KILIMO,
CHAKULA NA USHIRIKA 7. ALHAMISI 21/5/2015 Maswali HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA
KATIBA NA SHERIA 8. IJUMAA 22/5/2015 · Maswali · HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA
MAMBO YA NDANI YA NCHI · HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA
KUJENGA TAIFA. 9. JUMAMOSI 23/5/2015 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA MIFUGO NA
UVUVI 10. JUMATATU 25/5/2015 · Maswali · HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA
MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO · HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KAZI NA
AJIRA. 11. JUMANNE 26/5/2015 Maswali · HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA
BIASHARA · HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA 12.
JUMATANO 27/5/2015 · Maswali · HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI 13.
ALHAMISI 28/5/2015 · Maswali HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII.
· HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO 14. IJUMAA
29/5/2015 · Maswali · HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA USHIRIKIANO WA AFRIKA
MASHARIKI. · HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA
KIMATAIFA. 15. JUMAMOSI 30/5/2015 · HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UCHUKUZI 16.
JUMATATU 01/6/2015 Maswali HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA
UFUNDI 17. JUMANNE 02/6/2015 · Maswali · HOTUBA YA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA
JAMII 18. JUMATANO 03/6/2015 · Maswali HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA MAJI. 19.
ALHAMISI 04/6/2015 · Maswali · HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA
MAENDELEO YA MAKAZI 20. IJUMAA 05/6/2015 · Maswali. · HOTUBA YA BAJETI YA
WIZARA YA NISHATI NA MADINI. 21 JUMAMOSI 06/06/2015 HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA
YA FEDHA 22. JUMATATU - JUMATANO 08/6/2015 – 10/6/2015 Maswali; Serikali
kushauriana na Kamati ya Bajeti Kufanya Majumuisho kuzingatia Hoja zenye
Maslahi kwa Taifa zilizojitokeza wakati wa kujadili Bajeti za Wizara;(Siku 3)
23. ALHAMISI 11/6/2015 · Maswali (i) Waziri anayehusika na Mipango Kusoma
Taarifa ya Hali ya Uchumi. (ii) Waziri wa Fedha Kusoma Hotuba ya Bajeti ya
Serikali. 24. IJUMAA 12/6/2015 Wajumbe Kusoma na kutafakari Hotuba ya Bajeti.
25. JUMATATU - JUMANNE 15/6/2015 - 23/6/2015 · Maswali · MJADALA KUHUSU BAJETI
YA SERIKALI (Siku 7) 26. JUMATANO 24/6/2015 · Maswali · Muswada wa Sheria ya
Fedha za Matumizi (The Appropriation Bill, 2015) · Muswada wa Sheria ya Fedha
(The Finance Bill, 2015) 27. ALHAMISI - IJUMAA 25/6 – 26/6/2015 · Maswali ·
Muswada wa Sheria ya Fedha (The Finance Bill, 2015) 28. JUMAMOSI 27/6/2015
KUFUNGA BUNG
RATIBA YA MKUTANO WA
BUNGE LA BAJETI, KWA MWAKA WA FEDHA 2015/2016 UNAONZA TAREHE 12 MEI,
2015 HADI 27 JUNI, 2015
NA.
TAREHE NA SIKU
SHUGHULI HUSIKA NA WIZARA
1.
JUMAMOSI
na
JUMAPILI
09/05/2015 -10/05/2015
Wabunge kuelekea Dodoma kutoka Dar es Salaam na sehemu mbalimbali.
2.
JUMATATU
11/05/2015
Saa 4.00 Asubuhi
Saa 10.00 Jioni
· Kikao cha Pamoja cha Kamati ya Uongozi na Kamati ya Bajeti
(Ukumbi wa Pius Msekwa)
· Kikao cha Briefing kwa Wabunge wote
(Ukumbi wa Pius Msekwa)
3.
JUMANNE - JUMAMOSI
12/5/2015 - 16/5/2015
Mkutano wa Bunge kuanza kwa shughuli zifuatazo.
(i) Maswali ;
HOTUBA YA BAJETI YA OFISI YA WAZIRI MKUU: (Siku 5)
· SERA, URATIBU NA BUNGE.
· UWEKEZAJI NA UWEZESHAJI.
· TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
4.
JUMATATU
18/5/2015
Maswali
HOTUBA YA BAJETI YA OFISI YA RAIS:
MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA
UTAWALA BORA
MAHUSIANO NA URATIBU
5.
JUMANNE
19/5/2015
Maswali
HOTUBA YA BAJETI YA OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO NA MAZINGIRA).
6.
JUMATANO
20/5/2015
Maswali
HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA
7.
ALHAMISI
21/5/2015
Maswali
HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA KATIBA NA SHERIA
8.
IJUMAA
22/5/2015
· Maswali
· HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
· HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA.
9.
JUMAMOSI
23/5/2015
HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI
10.
JUMATATU
25/5/2015
· Maswali
· HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO
· HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KAZI NA AJIRA.
11.
JUMANNE
26/5/2015
Maswali
· HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA
· HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA
12.
JUMATANO
27/5/2015
· Maswali
· HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI
13.
ALHAMISI
28/5/2015
· Maswali
HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII.
· HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA
MICHEZO
14.
IJUMAA
29/5/2015
· Maswali
· HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI.
· HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA
KIMATAIFA.
15.
JUMAMOSI
30/5/2015
· HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UCHUKUZI
16.
JUMATATU
01/6/2015
Maswali
HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
17.
JUMANNE
02/6/2015
· Maswali
· HOTUBA YA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII
18.
JUMATANO
03/6/2015
· Maswali
HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA MAJI.
19.
ALHAMISI
04/6/2015
· Maswali
· HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA
MAKAZI
20.
IJUMAA
05/6/2015
· Maswali.
· HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI.
21
JUMAMOSI
06/06/2015
HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA
22.
JUMATATU - JUMATANO
08/6/2015 – 10/6/2015
Maswali;
Serikali kushauriana na Kamati ya Bajeti Kufanya Majumuisho kuzingatia
Hoja zenye Maslahi kwa Taifa zilizojitokeza wakati wa kujadili Bajeti za
Wizara;(Siku 3)
23.
ALHAMISI
11/6/2015
· Maswali
(i) Waziri anayehusika na Mipango Kusoma Taarifa ya Hali ya
Uchumi.
(ii) Waziri wa Fedha Kusoma Hotuba ya Bajeti ya Serikali.
24.
IJUMAA
12/6/2015
Wajumbe Kusoma na kutafakari Hotuba ya Bajeti.
25.
JUMATATU - JUMANNE
15/6/2015 - 23/6/2015
· Maswali
· MJADALA KUHUSU BAJETI YA SERIKALI
(Siku 7)
26.
JUMATANO
24/6/2015
· Maswali
· Muswada wa Sheria ya Fedha za Matumizi (The Appropriation Bill,
2015)
· Muswada wa Sheria ya Fedha (The Finance Bill, 2015)
27.
ALHAMISI - IJUMAA
25/6 – 26/6/2015
· Maswali
· Muswada wa Sheria ya Fedha (The Finance Bill, 2015)
28.
JUMAMOSI
27/6/2015
KUFUNGA BUNGE
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
0 comments:
Post a Comment