JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
BUNGE LA TANZANIA
TANZIA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anasikitika kutangaza kifo cha Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Dar es Salaam, Mhe. EUGEN ELISHIRINGA MWAIPOSA kilichotokea usiku wa kuamkia tarehe 2 June 2015 nyumbani kwake Dodoma ambako amekuwepo kushiriki Mkutano wa Bunge la Bajeti.
Mwili wa Marehemu utaagwa kesho tarehe 3 Juni 2015 kuanzia saa 4 asubuhi
katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma, na baadaye mwili kupelekwa
nyumbani kwake Ukonga, Dar es Salaam.
BWANA alitoa, BWANA ametwaa. Jina la BWANA lihimidiwe. Amina!
Imetolewa na Ofisi ya Bunge,
Idara ya Habari, Elimu kwa Umma na
Uhusiano wa Kimataifa,
Dodoma,
Wabunge wakiangua vilio a bunge mara baada ya kutangazwa kifo cha mbunge huyo |
Marehemu Mwaiposa, (kulia), akiwasikiliza waliokuwa wapiga kura wake |
Marehemu Mwaiposa, (kulia), akisalimiana na waziri mkuu, Mizengo Pinda, wakati wa uhai wake. Katikati, ni mbunge wa viti maalum, AL-Shymaa |
MBUNGE WA UKONGA,
MWAIPOSA AFARIKI DUNIA
Mama Eugene Mwaiposa enzi za uhai wake
Mbunge wa Ukonga Eugene Mwaiposa kafariki majira ya saa nne asubuhi
mjini Dodoma.
Haijafahamika vema kama alikuwa anaumwa nini, lakini taarifa za awali
zinasema, Amefia Rock hotel, jirani na kituo cha mafuta cha Shabiby.
TAARIFA YA NAIBU SPIKA
Bunge la jamhuri limepata msiba wa kufiwa na mbunge wa jimbo la Ukonga,
alikuwa na tatizo la shinikizo la damu kwa muda mrefu, Amefariki
nyumbani kwake hapa Dodoma. Nyumbani kwa marehemu ni eneo la Chaduru
opposite na jengo jipya la hoteli ya Shabiby barabara ya Dar es Salaam,
Mwili umepelekwa hospitali ya mkoa wa Dodoma kwa uchunguzi zaidi.
Shughuli ya Kuaga itafanyika kesho baada ya familia yake kuwasili hapa
Dodoma. Tutatumia mtandao wa simu kuwajulisha taarifa zaidi, kwa jinsi
hio natumia kanuni ya 152 kuahirisha bunge hadi keshokutwa
Alhamis.Bonyeza HAPA kusikiliza sauti.
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
MBUNGE WA UKONGA,
MWAIPOSA AFARIKI DUNIA
Mama Eugene Mwaiposa enzi za uhai wake
Mbunge wa Ukonga Eugene Mwaiposa kafariki majira ya saa nne asubuhi
mjini Dodoma.
Haijafahamika vema kama alikuwa anaumwa nini, lakini taarifa za awali
zinasema, Amefia Rock hotel, jirani na kituo cha mafuta cha Shabiby.
TAARIFA YA NAIBU SPIKA
Bunge la jamhuri limepata msiba wa kufiwa na mbunge wa jimbo la Ukonga,
alikuwa na tatizo la shinikizo la damu kwa muda mrefu, Amefariki
nyumbani kwake hapa Dodoma. Nyumbani kwa marehemu ni eneo la Chaduru
opposite na jengo jipya la hoteli ya Shabiby barabara ya Dar es Salaam,
Mwili umepelekwa hospitali ya mkoa wa Dodoma kwa uchunguzi zaidi.
Shughuli ya Kuaga itafanyika kesho baada ya familia yake kuwasili hapa
Dodoma. Tutatumia mtandao wa simu kuwajulisha taarifa zaidi, kwa jinsi
hio natumia kanuni ya 152 kuahirisha bunge hadi keshokutwa
Alhamis.Bonyeza HAPA kusikiliza sauti.
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
0 comments:
Post a Comment