1--2648,2649-RaisFelipe
Jacinto Nyusi wa Msumbiji akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Maputo wakati alipowasili kuanza
ziara ya kiserikali ya siku mbili .
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha kwa Rais Nyusi Waziri wa
Katiba na Sheria Dkt. Asha Rose Migiro.Kulia ni Naibu Waziri wa Mambo ya
Nje wa Tanzania Dkt.Mahadhi Juma Maalim.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu kwa Rais Felipe Jacinto Nyusi wa Msumbiji.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Felipe Jacinto Nyusi wa
Msumbiji wakipokea heshima ya Urais wakiwa katika jukwaa
maalum(Saluting Dias) na kupigiwa mizinga 21 na kikosi cha jeshi la
Msumbiji.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongozwa na mwenyeji wake Rais Felipe
Jacinto Nyusi kukagua gwaride la heshima lililoandaliwa na vikozi vya
Ulinzi vya jeshi la Msumbiji.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kiiwete na mwenyeji wake Rais Felipe Jacinto Nyusi wa
Msumbiji wakipokea maua kutoka kwa watoto na kasha kupia nao picha.
Mjumbe wa Kamti kuu ya CCM na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia
mkutano wa kampeni za CCM kuwanadi mgombea urais, wabunge na madiwani
katika kijiji cha Kabwe wilayani Nkansi Oktoba 8, 2015.
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Kampeni za CCM uliohutubiwa na
Mjumbe wa Kamti Kuu ya CCM na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika kijiji
cha Kalungu wilayani Nkansi wakishangilia wakati alipowanadi mgombea
urais, wbunge na madiwani Oktoba 8, 2015.
Mjumbe
wa Kamti Kuu ya CCM na Waziri Muu, Mizengo Pinda akimnadi mgombea
ubunge wa Jimbo la Nkansi Kaskazini, Ally Kessy Mabodi katika mkutano wa
kampeni za CCM aliouhutubia katika kijiji ch Kalungu wilayani Nkansi
Oktoba 8, 2015.
Pichani
juu ni mgombea mwenza wa nafasi ya urais Chama Cha Mapinduzi (CCM),
Mama Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi baada ya kusimamishwa
barabarani katika Jimbo la Sumve alipokuwa akipita kuelekea Wilaya ya
Magu katika mkutano wa kampeni uliofanyika Kata ya Kisesa Jimbo la Magu.
Mkutano wa hadhara ukiendelea Jimbo la Kwimba |
Baadhi ya wanaCCM na makada wa Chama Cha Mapinduzi wakiwa na mabango yenye jumbe anuai kwa mgombea mwenza kwenye mkutano wa hadhara Mji mdogo wa Ngudu. |
Moja ya kikundi sanaa (kwaya) kikiwaburudisha wananchi na wanaCCM wa Kata ya Kisesa katika mkutano wa hadhara wa kampeni za mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Mama Samia Suluhu Hassan. |
Baadhi ya wanaCCM na makada wa Chama Cha Mapinduzi wakiwa na mabango yenye jumbe anuai kwa mgombea mwenza kwenye mkutano wa hadhara Kata ya Kisesa Jimbo la Magu, Mkoani Mwanza. |
0 comments:
Post a Comment