Monday, December 28, 2015

HARUNA NIYONZIMA AVUNJIWA MKATA NA YANGA

Klabu ya yanga imevunja mkataba wa mchezaji wake wa kimataifa Haruna Nionzima leo  kwa mujibu wa msemaji wa klabu hiyo Jerry Muro akiongea na wandishi wa habari katika klabu hiyo na kusema Nionzima atapaswa kulipa kiasi cha fedha za kitanzania shs 149 milioni  na kuongeza klabu yeyote itakapo mtaka mcheza huyo alipe kwanza kiasi hicho ndipo atamchukua
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu