Watendaji wakuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu na Taasisi zake wakimsikiliza
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipowasilisha bungeni Mapitio na
Mwelekeo wa Kazi za Serikali na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya
Fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Mwaka 2016/2017. (Picha na Ofisi
aWaziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasilisha bungeni Mapitio na Mwelekeo wa Kazi za Serikali na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Mwaka 2016/2017. (Picha na Ofisi aWaziri Mkuu)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenhye Ulemavu, Jenista Mhagama (kushoto) na Naibu wake, Dktt. Abdallah Posi wakiteta bungeni mjini Dodoma Aprili 22, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa Kilimo na Maendeleo ya Mifugo, Mwigulu Nchemba, Bungeni Mjini Dodoma Aprili 20, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasilisha bungeni Mapitio na Mwelekeo wa Kazi za Serikali na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Mwaka 2016/2017. (Picha na Ofisi aWaziri Mkuu)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenhye Ulemavu, Jenista Mhagama (kushoto) na Naibu wake, Dktt. Abdallah Posi wakiteta bungeni mjini Dodoma Aprili 22, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa Kilimo na Maendeleo ya Mifugo, Mwigulu Nchemba, Bungeni Mjini Dodoma Aprili 20, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Fedha ambao Aprili 22, 2016 walikwenda Bungeni mjini Dodoma kwa ziara ya mafunzo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) |
0 comments:
Post a Comment