Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. John Pombe Magufuli
ametengua uteuzi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga
kwa kosa la kuingia Bungeni kujibu maswali akiwa bwii kwa kilaji. Taarifa ya Ofisi ya Rais Ikulu imefunguka kama inavyosomeka hapo chini;
0 comments:
Post a Comment