Saturday, May 21, 2016

  Rais Magufuli amtumbua Waziri Kitwanga, kisa...!

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga kwa kosa la kuingia Bungeni kujibu maswali akiwa bwii kwa kilaji. 
Taarifa ya Ofisi ya Rais Ikulu imefunguka kama inavyosomeka hapo chini;

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu