Meneja Mkuu wa Mgodi wa Bulyanhulu Graham Crew akibadilishana hati za
makubaliano na Afisa Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa,Dkt Ellen
Mkondya wakati wa hafla ya makabidhiano ya hati hizo iliyofanyika
wilayani Kahama.
Meneja Mkuu wa Mgodi wa Bulyanhulu,Graham Crew pamoja na Afisa Mkuu wa
Taasisi ya Benjamin William Mkapa Dkt Ellen Mkondya wakitia saini katika
hati za makubaliano ya kuboresha mradi wa huduma ya afya ,Zoezi la
utiaji saini ulishuhudiwa na Mkuu wa wilaya ya Kahama ,Vita
Kawawa(kulia) ,Mkurugenzi wa Halmashauri ya Msalala,Patrick Karangwa
(nyuma ya mkuu wa wilaya) pamoja na viongozi wa Mgodi wa Bulyanhulu
,Elias Kasitila na Mganga Mkuu wa wilaya ya Msalala Dkt Hamad Nyembea.
Meneja wa Mgodi wa Bulyanhulu ,Graham Crew akizungumza mara baada ya
kutiliana saini makubaliano ya kuboresha huduma za Afya na Taasisi ya
Benjamini William Mkapa wakati wa hafla iliyofanyika katika mji wa
Kahama.
Mkuu wa wilaya ya Kahama ,Vita Kawawa akitoa neno la shukrani kwa
uongozi wa Mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu kwa michango ambao wameendelea
kutoa kwa wilaya ya Kahama na Msalala.
0 comments:
Post a Comment