Mwanasheria wa Wizara ya Habari Utamaduni
Sanaa na Michezo Bw. Patrick Kipangula (kulia) akifafanua hoja za kisheria
katika kikao kati ya Bodi ya Filamu Tanzania
na wadau wa filamu nchini ikiwa ni utaratibu wa kukutana na wadau hao
kusikiliza changamoto zao na kuzipatia ufumbuzi ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Utumishi wa Umma.
Mwanasheria wa Wizara ya Habari Utamaduni
Sanaa na Michezo Bw. Patrick Kipangula (kulia) akifafanua hoja za kisheria
katika kikao kati ya Bodi ya Filamu Tanzania
na wadau wa filamu nchini ikiwa ni utaratibu wa kukutana na wadau hao
kusikiliza changamoto zao na kuzipatia ufumbuzi ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Utumishi wa Umma.
Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Bw.Simon
Mwakifwamba akichangia hoja katika kikao kati ya Bodi ya Filamu Tanzania na wadau wa filamu nchini ikiwa ni utaratibu
wa kukutana na wadau hao kusikiliza changamoto zao na kuzipatia ufumbuzi ikiwa
ni maadhimisho ya wiki ya Utumishi.
Muandaaji na msanii wa filamu nchini Bw. William Mtitu akichangia hoja katika kikao kati ya Bodi ya Filamu Tanzania na wadau wa filamu nchini ikiwa ni utaratibu wa kukutana na wadau hao kusikiliza changamoto zao na kuzipatia ufumbuzi ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Utumishi wa Umma.
Muandaaji na msanii wa filamu nchini Bw. William Mtitu akichangia hoja katika kikao kati ya Bodi ya Filamu Tanzania na wadau wa filamu nchini ikiwa ni utaratibu wa kukutana na wadau hao kusikiliza changamoto zao na kuzipatia ufumbuzi ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Utumishi wa Umma.
0 comments:
Post a Comment