Home
»Unlabelled
» RAIS DKT MAGUFULI AZINDUA MPANGO WA KITAIFA WA KITUO CHA MAWASILIANO CHA JESHI LA POLISI (CALL CENTRE)
RAIS DKT MAGUFULI AZINDUA MPANGO WA KITAIFA WA KITUO CHA MAWASILIANO CHA JESHI LA POLISI (CALL CENTRE)
|
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph akikagua kituo
cha mawasiliano ya polisi (Call centre) katika kituo cha Kati jijini
Dar es salaam wakati wa uzinduzi wa Kitaifa wa Kituo cha Mawasiliano cha
Jeshi la Polisi. .Pamoja naye ni Waziri wa mambo ya Ndani Mhe Mwigulu
Nchemba, Katibu Mkuu Wizara ya mambo ya Ndani Meja Jenerali Projest
Rwegasira, IGP Ernest manu, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Paul
Makonda na viongozi wengine wa sekta ya umma na binfasi.
|
|
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph akikagua kituo
cha mawasiliano ya polisi (Call centre) katika kituo cha Kati jijini
Dar es salaam wakati wa uzinduzi wa Kitaifa wa Kituo cha Mawasiliano cha
Jeshi la Polisi. .Pamoja naye ni Waziri wa mambo ya Ndani Mhe Mwigulu
Nchemba, Katibu Mkuu Wizara ya mambo ya Ndani Meja Jenerali Projest
Rwegasira, IGP Ernest manu, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Paul
Makonda na viongozi wengine wa sekta ya umma na binfasi.
|
|
Sehemu ya wananchi na wadau waliohudhuria uzinduzi wa Kitaifa wa Kituo
cha Mawasiliano cha Jeshi la Polisi viwanja vya Biafra jijini Dar es
salaam leo. Pamoja naye ni Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete,
Waziri wa mambo ya Ndani Mhe Mwigulu Nchemba, Katibu Mkuu kiongozi Mhe.
John Kijazi, IGP Ernest manu, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Paul
Makonda na viongozi wengine wa sekta ya umma na binafsi |
|
Sehemu ya wananchi na wadau waliohudhuria uzinduzi wa Kitaifa wa Kituo
cha Mawasiliano cha Jeshi la Polisi viwanja vya Biafra jijini Dar es
salaam leo. Pamoja naye ni Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete,
Waziri wa mambo ya Ndani Mhe Mwigulu Nchemba, Katibu Mkuu kiongozi Mhe.
John Kijazi, IGP Ernest manu, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Paul
Makonda na viongozi wengine wa sekta ya umma na binafsi. |
|
Sehemu ya wananchi na wadau waliohudhuria uzinduzi wa Kitaifa wa Kituo
cha Mawasiliano cha Jeshi la Polisi viwanja vya Biafra jijini Dar es
salaam leo. Pamoja naye ni Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete,
Waziri wa mambo ya Ndani Mhe Mwigulu Nchemba, Katibu Mkuu kiongozi Mhe.
John Kijazi, IGP Ernest manu, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Paul
Makonda na viongozi wengine wa sekta ya umma na binafsi. |
|
Sehemu ya wananchi na wadau waliohudhuria uzinduzi wa Kitaifa wa Kituo
cha Mawasiliano cha Jeshi la Polisi viwanja vya Biafra jijini Dar es
salaam leo. Pamoja naye ni Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete,
Waziri wa mambo ya Ndani Mhe Mwigulu Nchemba, Katibu Mkuu kiongozi Mhe.
John Kijazi, IGP Ernest manu, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Paul
Makonda na viongozi wengine wa sekta ya umma na binafsi. |
binfasi.
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph akimkabidhi tuzo ya ufadhili Mkurugenzi Mtendaji wa TBA Bw. Elius Mwakalinga wakati
wa uzinduzi wa Kitaifa wa Kituo cha Mawasiliano cha Jeshi la Polisi
katika viwanja vya Biafra jijini Dar es salaam leo. Pamoja naye ni Rais
Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa mambo ya Ndani Mhe Mwigulu
Nchemba, Katibu Mkuu kiongozi Mhe. John Kijazi, IGP Ernest manu, Mkuu
wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Paul Makonda na viongozi wengine wa sekta ya umma na binafsi. |
|
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph akihutubia
uzinduzi wa Kitaifa wa Kituo cha Mawasiliano cha Jeshi la Polisi
katika viwanja vya Biafra jijini Dar es salaam leo. |
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph akipata
maelezo katika mabanda mbalimbali wakati wa uzinduzi wa Kitaifa wa Kituo
cha Mawasiliano cha Jeshi la Polisi (Call Centre) katika viwanja vya
Bias=fra jijini Dar es salaam.. Pamoja naye ni Rais Mstaafu Dkt Jakaya
Mrisho Kikwete, Waziri wa mambo ya Ndani Mhe Mwigulu Nchemba, Katibu
Mkuu kiongozi Mhe. John Kijazi, IGP Ernest manu, Mkuu wa Mkoa wa Dar es
salaam Mhe Paul Makonda na viongozi wengine wa sekta ya umma na binafsi |
|
p16:
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph
akimkabidhi tuzo ya ufadhili Bi. Edna Rajabu wa kwa niaba ya Shirika
la Utangazaji la TBC wakati wa uzinduzi wa Kitaifa wa Kituo cha
Mawasiliano cha Jeshi la Polisi katika viwanja vya Biafra jijini Dar es
salaam leo. Pamoja naye ni Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete,
Waziri wa mambo ya Ndani Mhe Mwigulu Nchemba, Katibu Mkuu kiongozi Mhe.
John Kijazi, IGP Ernest manu, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Paul
Makonda na viongozi wengine wa sekta ya umma na binafsi.
Add caption |
|
p18 na p19: Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph akizindua
Kituo kidogo cha Polisi kinachohamishika wakati wa uuzinduzi wa Kitaifa
wa Kituo cha Mawasiliano cha Jeshi la Polisi (Call Centre) katika
viwanja vya Bias=fra jijini Dar es salaam.. Pamoja naye ni Rais Mstaafu
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa mambo ya Ndani Mhe Mwigulu Nchemba,
Katibu Mkuu kiongozi Mhe. John Kijazi, IGP Ernest manu, Mkuu wa Mkoa
wa Dar es salaam Mhe Paul Makonda na viongozi wengine wa sekta ya umma na binafsi.
|
|
p18 na p19: Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph akizindua
Kituo kidogo cha Polisi kinachohamishika wakati wa uuzinduzi wa Kitaifa
wa Kituo cha Mawasiliano cha Jeshi la Polisi (Call Centre) katika
viwanja vya Bias=fra jijini Dar es salaam.. Pamoja naye ni Rais Mstaafu
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa mambo ya Ndani Mhe Mwigulu Nchemba,
Katibu Mkuu kiongozi Mhe. John Kijazi, IGP Ernest manu, Mkuu wa Mkoa
wa Dar es salaam Mhe Paul Makonda na viongozi wengine wa sekta ya umma na binafsi.
|
0 comments:
Post a Comment