Mkurugenzi
Mtendaji wa Covenant Bank Sabetha Mwambenja, kwa Pamoja na Mkurugenzi wa Bega
kwa Bega Microfinance Johakimu January, wakitia saini mkataba wa makubaliano ya
Ushirikiano wa kazi kati ya Taasisi hizo ili kuwawezesha vijana kuanzisha
makampuni na viwanda vidogo vidogo nchi nzima. Wanaoshuhudia ni Naibu Waziri wa
Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa( TAMISEMI), Suleiman Jaffo, Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Manju Msambya,
pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Covenant Bank, Balozi. Salome
Sijaona hafla hiyo imefanyika jijini
mwanza mwishoni mwa wiki hii.
Home »Unlabelled » UZINDUZI WA MPANGO WA KUJENGA TANZANIA YA VIWANDA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment