Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Jaji wa Mahakama ya Rufani
Jaji Shaaban Ali Lila(kushoto) pamoja na Jaji Kiongozi Jaji Ferdinand Leons
Katipwa Wambali (kulia)mara baada ya tukio la uapisho lililofanyika Ikulu
jijini Dar es Salaam leo Juni 10, 2016. (PICHA ZOTE NA IKULU)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akimuapisha Jaji Ferdinand Leons Katipwa Wambali kuwa Jaji
Kiongozi, Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Jaji Shaaban Ali
Lila kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akimpongeza Jaji Shaaban Ali Lila mara baada ya kumuapisha
kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Jaji wa Mahakama ya Rufani
Jaji Shaaban Ali Lila(kushoto) pamoja na Jaji kiongozi Jaji Ferdinand Leons
Katipwa Wambali, wengine katika picha ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan,
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Jaji mkuu wa Tanzania Mohamed Chande Othmani
mara baada ya tukio la uapisho wa Majaji hao Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akimpongeza Jaji Shaaban Ali Lila mara baada ya kumuapisha
kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais akisalimiana na waandishi wa habari
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja
na Jaji wa Mahakama ya Rufani Jaji Shaaban Ali Lila(kushoto) pamoja na Jaji
kiongozi Jaji Ferdinand Leons Katipwa Wambali, wengine katika picha ni Makamu
wa Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Jaji mkuu wa
Tanzania Mohamed Chande Othmani pamoja na Majaji mbalimbali wa Mahakama Kuu na
Mahakama ya Rufani Ikulu jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment