Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Samia Suluhu Hassan, akifuatilia kwa makini ufunguzi wa mkutano wa 27 kwa Wakuu
wa Nchi na Serikali wa Nchi Wanachama wa
Umoja wa Afrika AU ulioanza jana katika Ukumbu wa KCC mjini Kigali Rwanda.
Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano huo. (Picha na
OMR)
Home »Unlabelled » MAKAMU WA RAIS AKIWA KIGALI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment