Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wananchi wa Temeke
baada ya kuwasili kwenye Shule ya Msingi ya Chamazi kukabidhiwa madawati
na fedha shilingi milioni 100 kwa ajili ya Shule za Dar es salam
Julai 28, 2016. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda.
(Picha na Oisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Balozi wa Kuwait nchini, Jaseen Al
Najem na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msigi ya Chamazi wakiwa
wamekaa kwenye madawati mawili kati ya 300 yaliyotolewa na Kuwait ili
kukabiliana na tatizo la madawati jijini Dar es salaa. Makabishianoni
hayo yalifanyika kwenye Shule ya Msingi ya Chamazi jijini Dar es salaam
Julai 28, 2016. Waliosimama watatu kulia ni Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, , Augustine Mahiga, Kulia ni Naibu
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Susan
Kolimba na wapili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimshukuru , Murtaza Adamjee wa Jumuiya ya Mabohora nchini baada ya kukabidhiwa madawati 105 kwenye Shule ya Msingi ya Chamazi jijini Dar es salam Julai 28, 2016. Kushoto ni Balozi wa Kuwait nchini, Jaseem Al Najem na Kulia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Dkt. Susan Kolimba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya wanafunzi na mmoja wa wananchi waliohudhuria hafla ya
kukabidhi madawati na fedha shilingi milioni 100 kwa Waziri Mkuu kwenye
shule ya Msingi yaChamazi jijini Dar es salaam Julai 28, 2016. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimshukuru , Murtaza Adamjee wa Jumuiya ya Mabohora nchini baada ya kukabidhiwa madawati 105 kwenye Shule ya Msingi ya Chamazi jijini Dar es salam Julai 28, 2016. Kushoto ni Balozi wa Kuwait nchini, Jaseem Al Najem na Kulia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Dkt. Susan Kolimba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimshukuru , Murtaza Adamjee wa Jumuiya ya Mabohora nchini baada ya kukabidhiwa madawati 105 kwenye Shule ya Msingi ya Chamazi jijini Dar es salam Julai 28, 2016. Kushoto ni Balozi wa Kuwait nchini, Jaseem Al Najem na Kulia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Dkt. Susan Kolimba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimshukuru , Murtaza Adamjee wa Jumuiya ya Mabohora nchini baada ya kukabidhiwa madawati 105 kwenye Shule ya Msingi ya Chamazi jijini Dar es salam Julai 28, 2016. Kushoto ni Balozi wa Kuwait nchini, Jaseem Al Najem na Kulia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Dkt. Susan Kolimba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment