Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, (kushoto), akizungumza jambo na
Rais John Pombe Magufuli, wakati wa chakula cha mchana Ikulu jijini Dar
es Salaam leo Jumapili Julai 10, 2016. Waziri Mkuu Modi pamoja na mambo
mengine ameahidi kuipatia Tanzania kiasi cha dola za Kimarekani Milioni
500 ili kusaidia miradi yenye kipaumbelea. Waziri Mluu huyo aliwasili
nchini Jumamosi usiku na amemaliza ziara yake ya siku mbili na tayari
yuko Nairobi nchini Kenya kuendelea na ziara ya kutembelea bara la
Afrika. (Picha na K-VIS MEDIA/Khalfan Said)
Home »Unlabelled »
Sunday, July 10, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment