Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam Bw. Nelson Mlela
akifafanua jambo kwa Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na
Mazingira walipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Bandari ya Dar es Salaam
leo Septemba 3,2016 . (PICHA ZOTE NA OFISI YA BUNGE)
Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mhe.
Khatib Said Haji Mbunge wa Konde akichangia hoja katika kikao baina ya wadau wa
biashara na Kamati hiyo walipokutana kujadili masuala mbalimbali ya kibiashara
katika Bandari za Tanzania leo Septemba 3,2016.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania Mhandisi Deusdedit
Kakoko(kushoto) akifafanua jambo mbele ya Kamati ya Bunge
ya Viwanda, Biashara na Mazingira kuhusu masuala mbalimbali ya kibiashara
katika Bandari za Tanzania leo Septemba 3, 2016 kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na
Mazingira Mhe. Dkt Dalaly Peter Kafumu Mbunge wa Igunga.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na
Mazingira Mhe. Dkt Dalaly Peter Kafumu Mbunge wa Igunga akizungumza na uongozi
wa Bandari na watendaji wa Wizara husika walipokutana kujadili masuala
mbalimbali ya kibiashara katika Bandari za Tanzania leo Septemba 3, 2016.
Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini TAFF Bw. Otieno Ogobo akitoa maoni
yake kwa Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na
Mazingira walipokutana kujadili masuala mbalimbali ya kibiashara katika Bandari
za Tanzania leo Septemba 3, 2016.
Kamishna wa Forodha na Ushuru wa Bidhaa kutoka Mamlaka ya Mapato
Tanzania (TRA) Bw. Jocktan Kyamuhanga akifafanua jambo mbele ya Kamati ya Bunge
ya Viwanda, Biashara na Mazingira kuhusu masuala mbalimbali ya ukusanyaji
mapato katika Bandari za Tanzania leo Septemba 3,2016 .
Kaimu Meneja wa Bandari ya
Dar es Salaam Bw. Nelson Mlela akifafanua jambo kwa Kamati ya Bunge
ya Viwanda, Biashara na Mazingira walipotembelea kuangalia utendaji kazi wa
Bandari ya Dar es Salaam leo Septemba 3,2016
Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mhe.
Anatropia Theonest Mbunge wa Viti maalum (Chadema) akichangia hoja katika kikao
baina ya wadau wa biashara na Kamati hiyo walipokutana kujadili masuala
mbalimbali ya kibiashara katika Bandari za Tanzania leo Septemba 3, 2016.
0 comments:
Post a Comment