Saturday, September 3, 2016


Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam Bw. Nelson Mlela akifafanua jambo kwa Kamati ya  Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira walipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Bandari ya Dar es Salaam leo Septemba 3,2016 . (PICHA ZOTE NA OFISI YA BUNGE)


Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mhe. Khatib Said Haji Mbunge wa Konde akichangia hoja katika kikao baina ya wadau wa biashara na Kamati hiyo walipokutana kujadili masuala mbalimbali ya kibiashara katika Bandari za Tanzania leo Septemba 3,2016.


Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania Mhandisi Deusdedit Kakoko(kushoto) akifafanua jambo mbele ya Kamati ya  Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira kuhusu masuala mbalimbali ya kibiashara katika Bandari za Tanzania leo Septemba 3, 2016 kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mhe. Dkt Dalaly Peter Kafumu Mbunge wa Igunga.


Mwenyekiti wa Kamati ya  Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mhe. Dkt Dalaly Peter Kafumu Mbunge wa Igunga akizungumza na uongozi wa Bandari na watendaji wa Wizara husika walipokutana kujadili masuala mbalimbali ya kibiashara katika Bandari za Tanzania leo Septemba 3, 2016.


Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini TAFF Bw. Otieno Ogobo akitoa maoni yake kwa Kamati ya  Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira walipokutana kujadili masuala mbalimbali ya kibiashara katika Bandari za Tanzania leo Septemba 3, 2016.


Kamishna wa Forodha na Ushuru wa Bidhaa kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Jocktan Kyamuhanga akifafanua jambo mbele ya Kamati ya  Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira kuhusu masuala mbalimbali ya ukusanyaji mapato katika Bandari za Tanzania leo Septemba 3,2016 .

Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam Bw. Nelson Mlela akifafanua jambo kwa Kamati ya  Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira walipotembelea kuangalia utendaji kazi wa Bandari ya Dar es Salaam leo Septemba 3,2016


Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mhe. Anatropia Theonest Mbunge wa Viti maalum (Chadema) akichangia hoja katika kikao baina ya wadau wa biashara na Kamati hiyo walipokutana kujadili masuala mbalimbali ya kibiashara katika Bandari za Tanzania leo Septemba 3, 2016.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu