Naibu
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kushoto) akizungumza
na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) nchini,
Awa Dabo (kulia), kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Wizara yake
na UNDP. Dabo alimtembelea Naibu Waziri Masauni ofisini kwake jijini Dar es
Salaam leo. Wapili kushoto ni Nirine
Kiplagat, Meneja wa Miraji katika Shirika hilo, na Godfrey Mulisa wa UNDP. (PICHA ZOTE NA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA
NCHI).
Naibu
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kushoto) akimsikiliza
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) nchini, Awa
Dabo wakati alipokuwa akizngumza kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati
ya Wizara yake na UNDP. Dabo alimtembelea Naibu Waziri Masauni ofisini kwake
jijini Dar es Salaam leo. Wapili
kushoto ni Nirine Kiplagat, Meneja wa Miraji katika Shirika hilo, na Godfrey
Mulisa wa UNDP.
0 comments:
Post a Comment