Home
»Unlabelled
» mashindano ya kuandika lishe
mashindano ya kuandika lishe
|
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo
Mhe. Anastazia Wambura akizungumza na waandishi wa habari wadau wa harakati za
upatikanaji wa lishe bora nchini na
wahariri wa vyombo vya habari katika hafla ya kuwatunuku tuzo waandishi bora wa
masuala ya lishe nchini iliyofanyika Jijini Dar es Salaam Novemba 22,2016.
|
|
Mkurugenzi Mtendaji wa Jukwaa la Lishe
Tanzania(PANITA) Bw. Tumaini Mkindo akielezea mikakati na utekelezaji wa mipango
ya Jukwaa la Lishe Tanzania katika kuboresha upatikanaji wa lishe bora nchini katika
hafla ya kuwatunuku tuzo waandishi bora wa masuala ya lishe nchini iliyofanyika
Jijini Dar es Salaam Novemba 22,2016. |
|
Katibu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania Bw. Neville
Meena akizungumza katika hafla ya kuwatunuku tuzo waandishi bora wa masuala ya
lishe nchini iliyofanyika Jijini Dar es Salaam Novemba 22,2016.
|
|
Mwakilishi wa Ubalozi wa Ireland na Irish Aid
Bi. Neema Shosho akizungumza kwa niaba ya ubalozi kuhusu masuala ya lishe
katika hafla ya kuwatunuku tuzo waandishi bora wa masuala ya lishe nchini
iliyofanyika Jijini Dar es Salaam Novemba 22,2016.
|
0 comments:
Post a Comment