Mwenyekiti wa Bunge Mhe. Najma Giga akiongoza
mkutano wa tano wa Bunge la 11 unaoendelea Mjini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na watu wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi na
Ajira Mhe. Anthony Mavunde akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika mkutano wa
tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Mhe. Stela Manyanya akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angela Mabula akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Bajeti Mhe. Hawa Ghasia akiwasilisha taarifa ya kamati yake kuhusiana na mapendekezo ya Maendeleo ya Taifa kwa mwaka 2017/2018 katika mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
Baadhi ya wabunge wakiwasili katika viwanja
vya Bunge kuhudhuria mkutano wa tano wa Bunge la 11 Mjini Dodoma.
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Dkt Tulia Ackson akijadiliana jambo na Mbunge wa Sengerema
Mhe. William Ngeleja wakati wa mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea
Mjini Dodoma.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa(kulia)
akijadiliana jambo na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.
Angela Mabula(kushoto) wakati wa mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini
Dodoma.
ukumbi wa bunge la jamhuri ya Tanzania
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na watu wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Mhe. Stela Manyanya akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angela Mabula akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Bajeti Mhe. Hawa Ghasia akiwasilisha taarifa ya kamati yake kuhusiana na mapendekezo ya Maendeleo ya Taifa kwa mwaka 2017/2018 katika mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
ukumbi wa bunge la jamhuri ya Tanzania
0 comments:
Post a Comment