akizungumza na vijana wa vikundi
mbalimbali vya michezo (hawapo pichani) walivyoshiriki katika matembezi ya
kupinga Udhalilishaji wa Wanawake na Watoto ikiwa ni Maadhimisho ya Siku ya
Haki Za Binadamu. Tukio hilo liliandaliwa na Baraza la Taifa la Vijana,
Zanzibar na lilifanyika Mnarani Mwembe Kisonge, mjini Unguja, Zanzibar. Katika
hotuba yake, Masauni alisema matukio ya unyanyasi yanaongezeka kwa wingi
nchini, hivyo amewataka wananchi kujitokeza kutoa taarifa za ukatili na
unyanyasaji katika vyombo husika kwa wakati.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi
Hamad Masauni
akizungumza na na vijana wa vikundi
mbalimbali vya michezo (hawapo pichani) walivyoshiriki katika matembezi ya
kupinga Udhalilishaji wa Wanawake na Watoto ikiwa ni Maadhimisho ya Siku ya
Haki Za Binadamu. Tukio hilo liliandaliwa na Baraza la Taifa la Vijana,
Zanzibar na lilifanyika Mnarani Mwembe Kisonge, mjini Unguja, Zanzibar. Katika
hotuba yake, Masauni alisema matukio ya unyanyasi yanaongezeka kwa wingi
nchini, hivyo amewataka wananchi kujitokeza kutoa taarifa za ukatili na
unyanyasaji katika vyombo husika kwa wakati.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi
Hamad Masauni
akizungumza na na vijana wa vikundi
mbalimbali vya michezo (hawapo pichani) walivyoshiriki katika matembezi ya
kupinga Udhalilishaji wa Wanawake na Watoto ikiwa ni Maadhimisho ya Siku ya
Haki Za Binadamu. Tukio hilo liliandaliwa na Baraza la Taifa la Vijana,
Zanzibar na lilifanyika Mnarani Mwembe Kisonge, mjini Unguja, Zanzibar. Katika
hotuba yake, Masauni alisema matukio ya unyanyasi yanaongezeka kwa wingi
nchini, hivyo amewataka wananchi kujitokeza kutoa taarifa za ukatili na
unyanyasaji katika vyombo husika kwa wakati.
Sehemu ya vijana ambao walishiriki
Matembezi ya Kupinga Unyanyasaji wa Wanawake na Watoto wakiwa wameshika bango
ambalo lina ujumbe unaowataka askari kuwasaidia wananchi zaidi katika mapambano
ya kudhibiti matukio ya unyanyasaji nchini. Vijana hao walipokelewa na mgeni
rasmi katika tukio hilo, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad
Masauni (hayupo pichani). Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
0 comments:
Post a Comment