Home
»Unlabelled
» MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU UFUKWENU KWA VYUO VIKUU JUMAMOSI HII COCOBEACH
MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU UFUKWENU KWA VYUO VIKUU JUMAMOSI HII COCOBEACH
|
Kkocha wa timu ya Taifa ya mpira wa miguu ufukweni John Mwansasu akizungumza na wandishi wa habari kuhusu mashindano ya ufukweni yatakayo shirikishwa vyuo vikuu vya Vilivyopo Mkoani Dar es asalaam michezo hiyo iualayofanyika kwenye ufukwe wav Cocobeach yatafanyika siku ya Jumamosi kuanzia saa tatu asbuhi Mashindano hayo yamedhaminiwa na kampuni ya simu ya TTCL Michezo hiyo itaanza Dar es salaal na badaye kuelekea katika mkoa wa Dodoma pamoja na vyuo vikuu vya Dodoma vitapata fulsa ya kushiriki huko huko Dodoma barae MZUKA WA FUNGO |
| |
|
|
|
|
|
|
|
0 comments:
Post a Comment