Wabunge wa Makuwi Wabadilishana Uzoefu na Wawakilishi wa Baraza la Wawakilishi Wanawake Zanzibar.
Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Mgeni Hassn Juma
akizungumza na Wajumbe wa Bunge la Makuwi Courtry Assembly Kenya
walipofika kutembelea Ofisi za Baraza la Wawakilishi Zanzibar
kubadilishana uzoefu wa kazi za kibunge wakiwa katika ziara Zanzibar.
Spika wa Bunge la Mukuwi Country Assembly Kenya Mhe Stephen NMutunga
Nselu akizumgumza wakati wa mkutano wa kubadilishana uzoefu na
Wawakilishi wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar walipofanya ziara ya
kirafiki ya kubadilishana taaluma ya Kibunge kwa pande hizo mbili.
0 comments:
Post a Comment