WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI MKOANI RUVUMA KWAZIARA YA KIKAZI
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na mkuu wa mkoa wa ruvuma
Mhandisi Binilis Mahenge mara alipowasili katika uwanja wa ndege wa
Ruvuma kwa ziara ya kikazi kulia ni mke wa mkuu wa mkoa wa ruvuma Mama
Mahenge.
Waziri mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Kaimu Jaji Mfawidhi wa
Songea Mh Salima Chikoyo ambaye alikuwepo katika uwanja wa ndege wa
Ruvuma katika mapokezi ya waziri mkuu Kushoto ni Naibu waziri wa
maliasili na utali Mhandisi Ramo Makani na kushoto ni katibu tawala wa
mkoa wa Ruvuma Hassani Bndeheko
Waziri mkuu amewasili mkoani Ruvuma kwa ziara ya kikazi .
0 comments:
Post a Comment