Home
»
MICHEZO
» WAZIRI DKT. HARRISON MWAKYEMBE AZINDUA VIFAA VYA KUFUNDISHIA VYENYE THAMANI YA SH.MILIONI 100.
WAZIRI DKT. HARRISON MWAKYEMBE AZINDUA VIFAA VYA KUFUNDISHIA VYENYE THAMANI YA SH.MILIONI 100.
|
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt.
Harrison Mwakyembe (kushoto) akipokelewa na Mkurugenzi
Mtendaji wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBA), Dkt. Herbet wakati alipowasili katika taasisi
hiyo kuzindua vitendea kazi 4 Aprili, 2017 Wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani.
|
|
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt.
Harrison Mwakyembe (mwenye tai nyekundu) akiwa ameongozana na Mkurugenzi
Mtendaji wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBA) Dkt. Herbet Makoye pamoja
na viongozi wengine na watendaji wa TaSUBA wakati alipowasili katika taasisi
hiyo kuzindua vitendea kazi 4 Aprili, 2017 Wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani.
<!--[if gte mso 9]>
<
...
|
0 comments:
Post a Comment