Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akizungumza wakati wa futari aliyoiandaa kwa ajili ya Wabunge na Watumishi wa Bunge iliyofanyika katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma, kulia ni Mbunge wa Ilala, Mheshimiwa Mussa Zungu, anaefuata ni Mbunge wa Bariadi Magharibi Mheshimiwa Andrew Chenge na wa pili kushoto ni Mbunge wa Mbalali Mheshimiwa Haroon Pirmohamed.
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Mbunge wa Mbalali Mheshimiwa Haroon Pirmohamed (kulia) wakati wa futari aliyoiandaa kwa ajili ya Wabunge na Watumishi wa Bunge iliyofanyika katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge,
Mheshimiwa Job Ndugai (wa tatu kushoto) akifurahi jambo wakati wa futari
aliyoiandaa kwa ajili ya Wabunge na Watumishi wa Bunge iliyofanyika katika viwanja
vya Bunge Mjini Dodoma, wa pili kushoto ni Waziri Mkuu, Mheshimiwa Kassim
Majaliwa.
(PICHA NA OFISI YA
BUNGE)
Spika wa Bunge,
Mheshimiwa Job Ndugai (kulia)akiagana na Waziri Mkuu, Mheshimiwa Kassim
Majaliwa (kushoto) baada ya kumalizika kwa futari aliyoiandaa jana katika kwa ajili
ya Wabunge na Watumishi wa Bunge iliyofanyika katika viwanja vya Bunge Mjini
Dodoma.
0 comments:
Post a Comment