Wednesday, June 21, 2017

SPIKA NDUGAI AFUTURISHA WABUNGE NA WATUMISHI WA BUNGE KATIKA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA.

 Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akizungumza jambo na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mheshimiwa Joyce Ndalichako (katikati) wakati wa futari aliyoiandaa kwa ajili ya Wabunge na Watumishi wa Bunge iliyofanyika katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma, kulia ni Mbunge wa Mbalali Mheshimiwa Haroon Pirmohamed.
 Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akizungumza wakati wa futari aliyoiandaa kwa ajili ya Wabunge na Watumishi wa Bunge iliyofanyika katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma, kulia ni Mbunge wa Ilala, Mheshimiwa Mussa Zungu, anaefuata ni Mbunge wa Bariadi Magharibi Mheshimiwa Andrew Chenge na wa pili kushoto ni Mbunge wa Mbalali Mheshimiwa Haroon Pirmohamed.
 Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Mbunge wa Mbalali Mheshimiwa Haroon Pirmohamed (kulia) wakati wa futari aliyoiandaa kwa ajili ya Wabunge na Watumishi wa Bunge iliyofanyika katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (wa tatu kushoto) akifurahi jambo wakati wa futari aliyoiandaa kwa ajili ya Wabunge na Watumishi wa Bunge iliyofanyika katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma, wa pili kushoto ni Waziri Mkuu, Mheshimiwa Kassim Majaliwa.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kulia)akiagana na Waziri Mkuu, Mheshimiwa Kassim Majaliwa (kushoto) baada ya kumalizika kwa futari aliyoiandaa jana katika kwa ajili ya Wabunge na Watumishi wa Bunge iliyofanyika katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu