Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.
Juliana Shonza akisaini kitabu cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Mkufunzi wa
Sanaa katika Chuo cha Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) marehemu Mwl. John
Mponda leo kabla ya ibada ya kumuaga kwa
ajili ya safari ya mazishi yanayotarajiwa kufanyika Mbalizi mjini Mbeya.
PIX 2:Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.
Juliana Shonza akitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mkufunzi wa Sanaa katika
Chuo cha Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) marehemu Mwl. John Mponda
leo baada ya ibada ya kumuaga kwa ajili
ya safari ya mazishi yanayotarajiwa kufanyika Mbalizi mjini Mbeya.
0 comments:
Post a Comment