Tuesday, April 9, 2013

KUMBUKUMBU YA MWAKA MMOJA WA KIFO CHA KANUMBA



Florence Mutegoa (kushoto) ambaye ni mama wa  aliyekuwa msanii maarufu filamu nchini, marehemu Steven Kanumba akishukuru Mungu wakati wa ibada maalumu ya kuadhimisha kumbukumbu ya mwaka mmoja wa kifo cha Kanumba, kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Temboni, Dar es Salaam.Aprili 7, mwaka huu. PICHA ZOTE NA MDAU KHAMIS MUSSA















You might also like:
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu