Tuesday, November 12, 2013

BREKING NEWZZZ DR MVUNGI AFARIKI DUNIA

Aliekuwa  mjumbe wa tume ya katiba  Dkt Sengondo Mvungi amefariki dunia  - Taarifa zilizotufikia kutoka Milpark Hospitali  Mvungi Amefariki Mnamo Majira ya Saa Tisa na Nusu. mchana  dr mvungi amefariki baada ya kupigwa mapanga na watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi huko nyumbani kwake kibamba msakuzi katika wilaya ya kinondoni marehemu mvungi alitibiwa katika hospitali ya Moi muhimbili na baadaye kuhamishiwa  Afrika  kusini kwa matibabu zaidi mpaka kufikia leo mchana ametutoka Mungu ailaze Roho yake peponi  ...tutawajulisha zaidi angalia  mzuka
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu