Endelea Kusoma >>
Home » Archives for January 2012
Wednesday, January 25, 2012
Familia zilizo makini hutumia vipaji walivyonavyo pindi makali ya maisha Yyanapowakwaza. Pichani wanandoa Bwana Said Omar akimyoa mtoto mdogo kwa Shilingi mia Tano, wakati huohuo mkewe (kushoto), akimsuka mteja wake kwa malipo ya Shilingi elfu moja kujiongezea kipato kama walivyokutwa na mpiga Picha wetu Barabara ya Mwanza mjini Tabora hivi karibuni
Saturday, January 21, 2012
Bi Kurwa Amir miaka 40 akiwa na mtoto wake aliejifungua siku ya jumanne katika Hospitali ya Amana baada ya kupatwa na uchungu akiwa katika geti la shule ya sekondari ya Benjamini mkapa ambaye ni mmoja kati ya wapangaji walioathirika na mafuriko kwa hivi sasa makazi yao makuu ni nje ya geti hilo picha akiwa pembeni mwa frem ya duka
Friday, January 20, 2012
Bi Kurwa Amir miaka 40 akiwa na mtoto wake aliejifungua siku ya jumanne katika Hospitali ya Amana baada ya kupatwa na uchungu akiwa katika geti la shule ya sekondari ya Benjamini mkapa ambaye ni mmoja kati ya wapangaji walioathirika na mafuriko kwa hivi sasa makazi yao makuu ni nje ya geti hilo picha akiwa pembeni mwa frem ya duka kurwa anasema baba wa mtoto yuko kwao musoma alisafiri kabla ya mafuriko mpaka hivi sasa hajapata taarifa yeyote wala kuulizia kurwa hajapenda kutaja jina la baba wa mtoto
Bi Kurwa Amir miaka 40 akiwa na mtoto wake aliejifungua siku ya jumanne katika Hospitali ya Amana baada ya kupatwa na uchungu akiwa katika geti la shule ya sekondari ya Benjamini mkapa ambaye ni mmoja kati ya wapangaji walioathirika na mafuriko kwa hivi sasa makazi yao makuu ni nje ya geti hilo picha akiwa pembeni mwa frem ya duka kurwa anasema baba wa mtoto yuko kwao musoma alisafiri kabla ya mafuriko mpaka hivi sasa hajapata taarifa yeyote wala kuulizia kurwa hajapenda kutaja jina la baba wa mtotoBi Kurwa Amir miaka 40 akiwa na mtoto wake aliejifungua siku ya jumanne katika Hospitali ya Amana baada ya kupatwa na uchungu akiwa katika geti la shule ya sekondari ya Benjamini mkapa ambaye ni mmoja kati ya wapangaji walioathirika na mafuriko kwa hivi sasa makazi yao makuu ni nje ya geti hilo picha akiwa pembeni mwa frem ya duka kurwa anasema baba wa mtoto yuko kwao musoma alisafiri kabla ya mafuriko mpaka hivi sasa hajapata taarifa yeyote wala kuulizia kurwa hajapenda kutaja jina la baba wa mtoto
Thursday, January 19, 2012
Tuesday, January 17, 2012
Mchezaji wa timu ya Taifa na Club ya Vijana -City Bulls Alphaeus David Kisusi akiwa katika uwanja wa ndege akielekea nchini Canada katika chuo kikuu cha Newfound Memorial kwa amasomo kwa muda wa miaka 3 baada ya kupata scholaship aliyoipata katika chuo hicho kutokana na kufanya vizuri katika mafunzo yaliyotolewa hivi karibuni
Makamu wa Rais wa TBF Phares Magesa (kulia) akimkabidhi Bendera mchezaji wa mpira wa kikapu wa timu ya Taifa na Club ya Vijana City Bulls Alphaeus David Kisusi ambaye anakwenda nchini Canada kwa ajili ya masomo katika chuo kikuu New Found Memorial kufuatia Scholaship aliyoipata katika mafunzo yaliyotilewa na chuo hicho (kusshoto)Mwalimu Bahati Mgumba picha akiwa katika uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere
Friday, January 13, 2012
Thursday, January 12, 2012
Subscribe to:
Posts (Atom)